Monday, December 5, 2011

maafisa habari wakutana na kusherrehekea miaka 50 ya uhuru

hapa maafisa habari ambao walimaliza  chuo kikuu cha waislam morogoro 9MUM) mwaka 2008 wakiwa wana adhimisha mika 50 ya uhuru na mika mitatu kazini katika uwanja wa Sabasaba  mjini dsm
hawa ni maafisa habari  sehem nyeti hapa nchini wakiwa wanawajadili baadhi ya mambo

Sunday, December 4, 2011

MIAKA 50 YA UHURU

baadhi ya vyuo vikuu vya Tanzania vilivyosajiliwa kama tulivyolikuta bango katika banda la TCU katika maonesho ya mika 50 ya uhuru yanayoendelea kufanyika katika uwanja wa JK.Nyerere mjini DSM



Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika (kulia ) Bwana MbogoFutakamba akiwa na Mkurungenzi wa Usalama wa chakula Bwana  emanuel Mtambo

Afisa masoko wa compuni ya uzalishaji wa mbegu ASA Bwana Kawamalakushoto katika banda la wizara ya kilimo chakula na ushirika
Mtaalam wa kilimo cha umwagiliaji kwa njia ya matone Bwana Medad akiunganisha mabomba kwa ajili ya umwagiliaji wa mboga

afisa habari wa Rukwa bwana Hamza Temba katika harakati za kumpokea Raisi wa Zanziba  Dr. Shein