baadhi ya vyuo vikuu vya Tanzania vilivyosajiliwa kama tulivyolikuta bango katika banda la TCU katika maonesho ya mika 50 ya uhuru yanayoendelea kufanyika katika uwanja wa JK.Nyerere mjini DSM
Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika (kulia ) Bwana MbogoFutakamba akiwa na Mkurungenzi wa Usalama wa chakula Bwana emanuel Mtambo
Wataalam kutoka katika Kituo Cha utafiti cha Kibaha kinachohusika na utafiti wa Muhogo wakiwa wamebeba muhogo katika maonesho ya miaka 50 ya uhuru yaliofanyika katika viwanja vya sabasaba mjini DSM
Afisa masoko wa compuni ya uzalishaji wa mbegu ASA Bwana Kawamalakushoto katika banda la wizara ya kilimo chakula na ushirika
Mtaalam wa kilimo cha umwagiliaji kwa njia ya matone Bwana Medad akiunganisha mabomba kwa ajili ya umwagiliaji wa mboga
afisa habari wa Rukwa bwana Hamza Temba katika harakati za kumpokea Raisi wa Zanziba Dr. Shein
No comments:
Post a Comment