Wednesday, January 11, 2012

mkutano wa kuruhusu matumizi ya mbegu mpya ya kilimo

mkutaano wa kuruhusu matumizi ya mbegu mpya unafanyika leo mjini Arusha katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya New Safari iliyopo mjini hapa
watafiti kutoka katika vituo mbalimbalia vya kilimo hapa nchini wamekutana  na wamekuja na aina mbalimbali za aina za mbegu,
akifungua mkutano huo  kwa niaba ya wazirir wa kilimo chakula na ushirka Bwana Geofrey Kirenga aliwataka wadau wa mkutano huo kuchangagia mada kwa uhakika na umakini zaidi  ili kuruhusu aina hizo mpya za mbegu ambazo ni .

No comments:

Post a Comment