wanafunzi wakiwa wamebeba jarida la KILIMO USHIRIKA TANZANIA. jarida la wizara ya kilimo ambalo linaelezea utekelezaji mbalimbali wa sera za kilimo Tanzania
Friday, August 26, 2011
Thursday, August 25, 2011
huu ni mhogo kutoka samunge, huu unaweza kustawi sehemu yeyote yenye sifaza kustawisha muhogo
watu wengi hawafahamu kuwa muhongo una faida nyingi kuliko mtu anavyoweza kufikiri
kutokana na mhogo unaweza kupata unga wa ugali, mandazi uji,chips tambi biskuti nasema ukilima mhongo unatakuwa umejiegesha katika kona ya pesa
KILIMO CHAA MAZAO YA BUSTANI HAKIHITAJI MAENEO MAKUBWA
Hili ni kazi vya vijana wajasiriamali wanaojiita MKULIMA MBUNIFU ,kila kiroba kinapandwa miche zaidi ya 20 ukiamua kupata kupitia kilimo unahitaji mtaji kidogo sana
WANAFUNZI MKOANI ARUSHA WAKIJIFUNZA MAMBO MENGI YA KILIMO KWA KUTAMBUA KUWA KILIMO NI SAYANS
kilimo kwanza kinatakiwa kurithishwa kwa watoto ili wabaini kuwa kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi .
Na ushirikishwaji wa watoto katika kilimo kutawafanya wasikione kilimo kama ni adhabu na wakione kama kazi nyingine ambazo zinafanywa kwa mashariti ya kazi
TECHNOLOJIA YA UMWAGILIAJI MAJI INAWEZA KUWA MKOMBOZI KWA MKULIMA MDOGO
Mashine hizi za umwagiliajia zinapatikana kwa bei nafuu ambazo mkulima wa kawaida huweza kununua
Hivyo kwa wale wakulima wa mazao ya bustani ni furusa nzuri kwenu
Subscribe to:
Posts (Atom)