Friday, August 26, 2011

mapinduzi ya kijani yanaanzia kwa elimu ya watoto

wanafunzi wakiwa wamebeba jarida la KILIMO USHIRIKA  TANZANIA. jarida la wizara ya kilimo ambalo linaelezea utekelezaji mbalimbali wa sera za kilimo Tanzania

watafiti wa mbegu bora ya kilimo

aina mpya ya mbegu za mahindi mtama na dengu nk zikiwa zinaoneshwa na watafiti wa kilimo

Thursday, August 25, 2011

huu ni mhogo kutoka samunge, huu unaweza kustawi sehemu yeyote  yenye sifaza kustawisha muhogo
watu wengi hawafahamu kuwa muhongo una faida nyingi kuliko mtu anavyoweza kufikiri
kutokana na mhogo unaweza kupata unga wa ugali, mandazi uji,chips tambi biskuti nasema  ukilima mhongo unatakuwa umejiegesha katika kona ya pesa

KILIMO CHAA MAZAO YA BUSTANI HAKIHITAJI MAENEO MAKUBWA

Hili ni kazi vya vijana wajasiriamali wanaojiita MKULIMA MBUNIFU ,kila kiroba kinapandwa  miche zaidi ya 20 ukiamua kupata kupitia kilimo unahitaji mtaji kidogo sana

WANAFUNZI MKOANI ARUSHA WAKIJIFUNZA MAMBO MENGI YA KILIMO KWA KUTAMBUA KUWA KILIMO NI SAYANS

kilimo kwanza kinatakiwa kurithishwa kwa watoto ili wabaini kuwa kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi .
Na ushirikishwaji wa watoto katika kilimo kutawafanya wasikione kilimo  kama ni adhabu na wakione kama kazi nyingine ambazo zinafanywa kwa mashariti ya kazi

TECHNOLOJIA YA UMWAGILIAJI MAJI INAWEZA KUWA MKOMBOZI KWA MKULIMA MDOGO

Mashine hizi za  umwagiliajia zinapatikana kwa  bei nafuu ambazo mkulima wa kawaida huweza  kununua 
Hivyo kwa wale wakulima wa mazao ya bustani ni furusa nzuri kwenu