huu ni mhogo kutoka samunge, huu unaweza kustawi sehemu yeyote yenye sifaza kustawisha muhogo
watu wengi hawafahamu kuwa muhongo una faida nyingi kuliko mtu anavyoweza kufikiri
kutokana na mhogo unaweza kupata unga wa ugali, mandazi uji,chips tambi biskuti nasema ukilima mhongo unatakuwa umejiegesha katika kona ya pesa
No comments:
Post a Comment