Thursday, August 25, 2011

huu ni mhogo kutoka samunge, huu unaweza kustawi sehemu yeyote  yenye sifaza kustawisha muhogo
watu wengi hawafahamu kuwa muhongo una faida nyingi kuliko mtu anavyoweza kufikiri
kutokana na mhogo unaweza kupata unga wa ugali, mandazi uji,chips tambi biskuti nasema  ukilima mhongo unatakuwa umejiegesha katika kona ya pesa

No comments:

Post a Comment