kilimo kwanza kinatakiwa kurithishwa kwa watoto ili wabaini kuwa kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi .
Na ushirikishwaji wa watoto katika kilimo kutawafanya wasikione kilimo kama ni adhabu na wakione kama kazi nyingine ambazo zinafanywa kwa mashariti ya kazi
No comments:
Post a Comment