Wakati watanzania walio wengi wakitaabika na upatikanaji wa sukari wakulima wa wilaya ya Same wanahofia kukumbwa na njaa kali kama mvua zinazotegemewa kunyesha hazitanyesha
kutokana na mvua kutonyesha kwa muda mrefu wialyani Same upatikanaji wa chakula umekuwa mgumu kiasi cha watu wengi kushindia uji
akizungumza na kituo cha utangazaji cha BBC mama mmoja aliyekaririwa kwa jina moja la mama Kangero alisema kuwa watu wengi wanaishi kwa kutegemea kilimo hapa same hivyo kutonyesha kwa mvua ni pigo kwa watu wengi
japo swala la sukari ni muhimu kwa maisha ya kila mtu lakini kwa upande wa Same sera ni moja tu CHAKULA KWANZA, BAADAE SUKARI
No comments:
Post a Comment