Saturday, October 8, 2011

Maadhimisho ya Siku ya Saccos Duniani

maadhidhimisho ya siku ya saccos duniani yatafanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia 18,19na 20 katika viwanja vya mashujaa mnazi mmoja hapa Dar es Salaam
kaulimbiu ya maadhimisho hayo ni saccos hujanga maisha,na katika maadhimisho hayo kutakuwepo na saccos nyingi kutoka ndani  na nje ya Dar es salaam

No comments:

Post a Comment