UKIKWEPA YA AL-KAIDA YATAKUPATA YA AL SHABABI
Kilichotokea Libya kwa kipindi chote cha miezi minne hadi leo kiliandaliwa kwa muda usiopungua miaka mnne. ukiangalia sababu za msingi za kutokea kwa vita ile ilimto Gadafi duniani utagudua ni utajiri wa mafuta ulikuwepo libya
wananchi wa libya walitumia muda mfupi kuibomoa tripoli ukilingalnisha na muda uliotumika kuiunda tripoli ya zamani
pesa za walibya zilizokuwa zimewekezwa nje ndio zilizo tumika kuibomoa libya na ndizo zilizotumika kumtoa Gadafi
pamoja na wanalibya kutumia pesa zao na nguvu zao kuijenga libya na kutumia nguvu hizo hizo kuibomoa libya kazi kubwa ipo kwenye kuitengeneza libya mpya ya mwaka 2011 kwa kulipa kodi , hapo ndipo watakapo kubaliana na usemi wa umuhimu wa mkia wa ngo,mbe unapatika tu pale utakapo katwa
Kwa kipindi chote cha vita vya libya ni afriaka ya kusini tu waliotoa tamko kuhusu vita vya libya ambapo Ris Jacob Zuma alitaka Afrika iachiwe itatue mambo yake yenyewe
mimi naamini kuwa kilichotokea Libya ni matokeo ya utajiri uliokuwepo nchini humo, tusije tukashaanga siku moja tukitangaza kuchimba mafuta yetu yakatukuta ya libya
hata uraniam tulionayo tutakapoanza kuichimba lolote linaweza kutokea
kwa sasa botswana sio kwema kuna fukoto kwa sababu ya uchumbaji wa madini kati ya serikali na wanunuzi wa madini
No comments:
Post a Comment