Serikali za mitaa ndio zinazoweza kusababisha mapinduzi ya kilimo kutokea hapa Tanzania
hii inatokana na wao kuwa karibu sana na wakulima na ndio wanaojua tabia halisi ya mkulima
Aidha wapo wakulima wanaoshindwa kufikia malengo sio kwa sababu tu ya kukosa pembejeo za kilimo lakini kukosa uzalendo na kilimo chenyewe
Wapo wakulima wanaolima bila kufuata kanuni za kilimo bora kama vile kuaandaa shamba mapema, kutumia mbegu bora Kupalilia na kuvuna kwa wakati
Wakulima wenye tabia ya namna hii wanapatikana kwa kiasi kikubwa hapa nchini na wenye dhamana ya uhakika kudhibiti hali hiyo ni ERIKALI YA MTAA peke yake, kwa kuzitumia sheria ndogondogo na kuziweka nyingine
No comments:
Post a Comment