Shirika la utafiti na uzalishaji mpunga la Africanrice limeingia mkataba wa kushirikiana na Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika ili kuongeza uzalishaji wa mpunga wa kutosha kwa matumizi ya watazania na baadae kukifanya kilimo hicho kuwa cha kibiashara dunian
Akiongea na wandishi wa habari waziri wa kilimo chakula na Ushirika Mh. Jumanne maghembe amesema shirika hilo kwa kushirikiana na wizara lengo kubwa ni kuhakikisha nchi inazalisha mpunga wa kutosha kwa matumizi ya ndani na kuuza nje na kuifanya Tanzania kuwa nchi moja wapo inayouuza mpunga nchini na nje nchi na kuleta pesa za kigeni
Aidha ushirikiano huo utaanzia katika uzalishaji wa mbegu za mpuga zenye ubora wa hali ya juu na utakao kidhi mahitaji ya soko ili zao hilo kuingia katika soko la dunia kwa alisema Mh.prof Magembe
Katika Sehemu ya pili mheshimiwa waziri alisema itakuwa kufanyia utafiti mbegu za mpunga za aina mbalimbali na kuzifikisha katika vituo vya utafiti baadaye kuwafikie wakulima tayari kwa kuzijaribu ubora wake mashambani
Hata hivyo aliendela kusema kuwa Sehemu ya tatu ilijadiliwekwa na baina ya wizara na Africarice ni kutengenza program ya kuongeza uzalisahaji wa mpunga hapa nchini ambayo itafangeza upatikanaji wa aina mbalimbali ya za mpunga na kufanya chi kupata chakula cha kutosha
Aidha shirika hilo litarajia baada ya mika mitatu litazalisha tani million 27 za mpunga badala ya tani lakin tisa ambazo Tanzania inazalisha kwa mwaka mzima hivi sasa
Program hiyo itaendana na mafunzo ya muda mfupi kwa wataalamu wetu ili kurahisisha kuhamisha teknolijia hiyo kwa wakulima kiurahisi alisema wazira
No comments:
Post a Comment