Wednesday, September 7, 2011

umuhimu wa taarifa katika kuinua uchumi wa nchi

Kilimo ni sayansi ambayo mbali na vitendo inahitaji semina za mara kwa mara . moja ya mabo yanayoweza kumbadilisha mkulima ni upatikanaji wa taarifa sahihi kuhusu mabadiliko ya hali ya nchi, matokea ya tafiti mbalimbali pamoja na uhitaji wa soko. kutokana na uhaba wa taarifa katika vijiji vingi wataalam na watafiti mbalimbali kutoka wizara ya kilimo chakula na ushirka wamekuwa wakiwapatia taarifa wakulima na wadau wengine taarifa muhimu kama vichocheo vya mabadiliko ya katika sekta ya kilimo

No comments:

Post a Comment